AIBU : MASHOGA KIBAO WA JIJI LA DAR WAFURIKA KWENYE PARTY YA MSANII WA BONGO MUVI...SOMA HAPA KUMJUA
Wanaume 'tata' wakilishana keki katika sherehe ya bethidei.
Pati
hiyo ya kufuru ambayo ilikuwa ni ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya kijana wa
mjini aliyetajwa kwa jina moja la Abdul iliyoandaliwa na Anti Lulu
ilifanyika katika Hoteli ya KB iliyopo Kijitonyama, Dar, wikiendi
iliyopita ambapo ilihudhuriwa na watu mbalimbali lakini asilimia kubwa
ya waalikwa walikuwa ni ‘wanaume tata’.